jamaa ananiachaga hoi ana basi maalumu la kwenda kuzikia watu msiba ukitokea tu gari linapelekwa ,sijawahi ona akitoa gari kumpeleka mgonjwa hosipitali ,ila kwenye msiba haraka, mpaka kunakamati maalumu ya mazishi
tusifikili sisi kupewa amani na Mungu labda alituona ni wema sana au watakatifu kuliko mataifa mengine hapana, kama Mungu aliileta amani hivyo hata kuiondoa Amani anaweza, utaifa wetu ni bora kuliko dini zetu.
tuachane na mambo haya.tupinge namna yeyote ya udini pray you part it can be done
hivi ni Mungu gani huyo anayeabudiwa na anapenda maovu hivyo, mwancheni Mungu atajitetea mwenyewe .Mungu wa kweli anatuambia tuwe watii na kama kunajambo lipo kinyume tunajua jinsi ya kuwasiliana naye ambapo ni kwa njia ya maombi ,na wala sio kwa mabavu kiasi hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.