Kwanza nianze na pongezi kwa serikali ya jamhuri kwa kuchukua hatua katika kutekeleza mipango endelevu ya kiuchumi. Pia nimpe kongole alietamka kwa ukakamavu kua miradi hii ya Reli ya kati itakayofungua Dar Es Salaam Port kwa nchi nyingi ambazo hazina bahari (Landlocked countries), kua itajengwa...
Mkuu ningependa kujua ni nutrients gani hutakiwa wakati wa kuotesha na kukuza Hydroponic Folders sababu ni sharti iwe in liquid form. Na sisi tumezoea mbolea za viwandani ni crystal form au Mboji.
Wa Kwetu ni dereva wa roli, kashavuta bangi na anaona raha sana kutimua vumbi barabarani. Mlevi wa sifa Treni ninatoa watu Singida to Dodoma bure wakamshangilie anapopiga misele coz ana full tanki.
Kujitoa kwa RAO na mahakana kuruhusi wagombea wote kujumuishwa katika marejeo ya kura imekua mwiba kwa RAO. This nullified his agenda lead to his withdrawal.
Well said kaka, this magogoni is totally on the other side of Mwalimu. Aliehoji PhD kapotea, haendi international conferences akati huko kwa kuuza sera za kupinga kwako rushwa na kuweka mazingira sawia ya uwekezaji. Adui yake mkubwa ni magazeti na watu wanaomkosoa na The so called Malaika...
Umenifanya nikumbuke enzi hizo chuo mwaka wa kwanza nasoma Business Law, hapa naona hii kauli ilikua INVITATION TO TREATY. Jamaa alituita kumpigia kura kwa kauli ilokua na hamasa ya utendaji kazi na kuleta maendeleo na tukaingia mkenge bila kuchunguza kama alikua na sera to implement huu msemo...
Tutayaona mengi..Ubunifu unaendelea.
Kusimamishwa barabarani na wananchi (Hapo kuna hadi vipaza sauti vishafungwa0...
Kuandikiwa mabango....
Madiwani kuhama...
Dangote hajui sera za uwekezaji.....
Tuhamie Dodoma ofisi UDOM....
UBUNIFU UNAENDELEA
Je umejiuliza kwa nini TRA ilisitisha kutangaza mapato kila mwezi kama mwanzo serikali ilipoingia madarakani? Na kwa nini walikurupuka kujibu tarehe 9 October barua ikionyesha iliandikwa 9 September? Window dressing will cost the country in days to come. Greece did the same na sasa ni MUFILISI.
Ngoja mi niandike mabango niwape raia buku ten wayabebe, niweke miundombinu tumsimamishe barabarani na vifaa vya kuhutubia vikiwepo. Napita tu mimi ni mpango shobokea ticha wa zamu.
Ukimsikiliza PLO anapozungumzia rushwa kwa Africa, the guy speaks the truth. But kwenye utawala he is more of the late African leaders than what is wrong with the current regimes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.