Wadau naomba kuuliza je ni lazima uwe qualified kwenye vyuo vyote ulivyoandika? Wat if utakua umequalify vyuo ka viwili ambavyo we ndo unavipenda zaid, je lazma ubadili hvyo ambavyo haujaqualify?
Habari wanajf.tafadhali mimi sijawai kuzaa ila tumbo langu kubwa ka nina mimba vile.kiukweli linaninyima raha,kwasababu naonekana kama mmama mtu mzima kumbe bado binti.tafadhali nisaidieni namna ya kuondoa kitambi...
viva wana jf
jamani mi ni mgeni humu ila nilikua napitaga mara kwa mara na nimefurahishwa sana kuwepo humu kwa kweli mna ushirikiano wa ajabu na mnatoa mafunzo mengi sana.naamini mtanipa na mimi ushirikiano muda wote........viva jf nyie ni juu zaidi yaooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.