Upigaji kura TABATA SHULE YA MSINGI; KITUO A 2 wananchi wanasubiri kupiga kura kwa kuwa makasha ya kutumbukizia kura hayana 'seals'.
KITUO A 4, BOXES NO. 527159, upigaji unaendelea bila makasha hayo kuwa na 'seals'.
MNAOHUSIKA FUATILIENI!!!
Kituo A 2 wananchi wamegoma kupiga kura mpaka mabox yawe na 'seals'
Kituo A 4 , BOXES 527159, wameanza kupiga kura bila hayo mabox kuwa na 'seals'. Sijui zitakuja saa ngapi?
MNAOHUSIKA FUATILIENI!!!
Kati ya viongozi wa dini waliokuta Kongamano la Amani la Viongozi wa dini lililofanyika Dar ni kiongozi huyu[emoji116]pekee ndiye katika hotuba yake alieleza kwamba chimbuko la AMANI ni HAKI na USAWA.
[emoji1485]Kwanini viongozi wakiwepo wa dini wanaogopa kutamka HAKI? https://t.co/dRbZdyjHWz...
Hufanya shauri kumwangusha tu katika cheo chake; Huufurahia uongo. Kwa kinywa chao hubariki; Kwa moyo wao hulaani.
They only consult to cast him down from his excellency: they delight in lies: they bless with their mouth, but they curse inwardly. Selah.
"Kila Watanzania kumi,nane kati yao wanataka Rais Magufuli aongezewe muda"
...hivi TWAWEZA wameanza tena kufanya utafiti?
Bila shaka sakata la Mkurugenzi wao la uraia limekwisha...[emoji23]
Kabla ya hata kusikia nini kilitakwa kuzu gumzwa wamepata public ity kuubwa zaidi hata yale maombi yetu pale KARIMJEE!
All other options,I'm sure, are on the table. But,first,the usual 'double standards' have to/been laid bare
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge wangu wa jimbo la Butiama yu wapi?
Mh. Speaker anazo taarifa zote.
Kwa Lissu tu ndiyo ilikuwa taabu.
Mwombee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
The criminal law regime is silent with regards to right of *unconvicted prisoner* or *rumandee* to attend the Burial Ceremony of his parent or any other relative. Both *the Prisons(Management) Regulations, 1968* and *the Prisons Act, Cap. 58* are silent on the matter. Also, the Criminal...
Hapana Mkuu, Baba Paroko wa pale au wa St Peters azungumze naye ujumbe huu...'Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako...'
(Mithali 6:2)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niendelee ‘ Kumlilia ‘ Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ‘ Mwamba wa Uzanakini ‘ kule ambako Washamba ( Mambwigira ) kama Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi na Wakara wanatamani sana wanatamani sana Kutembelea na hata kuwa Wazanaki lakini haiwezekani.
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.