Titicomb,
Simameni kwenye katiba mliyoapa kuilinda, fuateni sheria kanuni na taratibu tulizojiwekea kama nchi, tuwe na level playing field kwa vyama vyote vya siasa kisha useme/uandike hayo uliyoandika. Siyo unamfunga mikono na miguu mshindani wako halafu unajisifu unajua kurusha ngumi.
Muammar alifikia hatua ya kuwaita wa Libya mende. Where is he now? Tendeni yaliyo ya haki hamtakuwa na haja ya kuwapigia magoti hao akina Telegram wawafungulie meseji za watu msome.
Hakika, yani mpaka magari ya mnada nayo anadai storage. Mwezi wa nne sasa hakuna mnada, Civil engineer ameprove kushindwa. Mtoe tu huyu baba, sikupangii lakini. Last month twice Dowuta wamenusuru mgomo wa wafanyakazi.
Suluhisho ni kwa mkuu wa mkoa kutoa vyeti vyake tu hlf wote tutamdharau Gwajima, atoe hata kadi ya kliniki iliyoandikwa Paul basi mchezo utakuwa umeisha, vingine askofu ataendelea kuwa shujaa!
Hiyo ni kazi ya kufanywa na constable mmoja tu wa polisi, siyo DAS mzima anaacha kazi ofisini anaenda kukamata tu dumu tuwili twa gongo na vimisokoto sijui sabini. Nchi ya ajabu sana hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.