Search results

  1. A

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    Inategemea unaingalia toka upande gani, kwa sisi Wazee wa nguvu za Universe tunatambua kwamba hii ni syncronicity, Universe inakuletea ujumbe na vitu vyako vinaelekea kua aligned. Kwa wale wa saikolojia watakuambia kwamba hii ni priming na framing. Ubongo unakua umezoea patterns fulani na...
  2. A

    Ili Kujustify Ngono Zembe, Jamii imejitengezea Myth Mpya, Njia Nyepesi ili Kujikinga na Maambukizi dhidi ya Ukimwi

    Elimu kuhusiana na jambo hili sioni ikitolewa kwa nguvu kama enzi zetu tukikua. Nakubaliana na ukweli kwamba matumizi ya ARV yamesababisha kupungua kwa janga hili, lakini vijana wanaokua hawana elimu ya kutosha. Matumizi ya vilainishi kureplace matumizi ya kondomu ni jambo la kuangaliwa kama...
  3. A

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Shukrani Mkuu Andrew. Ningetamani kujua Majanga kwa mfano say mradi mpya kama Stiegler au SGR responsibility ya distaster management bado iko chini ya Jeshi hili?
  4. A

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Ushauri mzuri hii. Kwa upande wangu ningependekeza liongezewe nguvu na lisiwe la zimamoto tu, bali liwe la Kukabiliana na Majanga aina yote.
  5. A

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Ntashukuru ukiweka link ya Video tupate kujifunza au la picha itasaidia.
  6. A

    SI KWELI Uvutaji sigara husaidia kuondokana na msongo wa mawazo

    Ningeomba basi andiko hili pia kuongelea ni namna gani ya kupunguza stress na kuondoa kukosa usingizi ili kumsaidia mletaji bandiko na wasomaji wengine.
  7. A

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Mkuu umeshapanda treni inayokwenda kwa constant speed? Hata ikiwa speed mia ikiwa constant unaeza cheza hadi disko.
  8. A

    Maisha Poland 🇵🇱 yakoje ( walio wai kuishi au kufanya kazi ) ?

    Heshima kubwa sana kwa brother Sambali. Katupokea
  9. A

    Maisha Poland 🇵🇱 yakoje ( walio wai kuishi au kufanya kazi ) ?

    Mji gani Mkuu Warszawa ama? Wapo hapa wakazi wa pale ambao ni members hapa JF siku nyingi
  10. A

    Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

    Nilikua nasubiri comment yako Mkuu. Inaonekana ni maigizo zaidi kwenye hii video.
  11. A

    Tujikumbushe Movie Kali Pendwa miaka hiyo ya 1980s-1990s na vibanda umiza kiingilio sh.10.

    Majuzi nimerudia kuangalia HEAT (1995) ni moja ya filamu yangu pendwa ya 90's. Al Pacino na De Niro walitendea haki hii kazi.
  12. A

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    Nadhani vijana wakipitia huu uzi watabaini ya kwamba JF tuko na wakongwe maana habari za miaka ya themanini na sabini zinaelezwa kama ni juzi tu hapa
  13. A

    Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

    Hongera sana Mzee wa Imani za jadi na Mizimu Yericko Nyerere kwa tuzo hii.
  14. A

    DC Butiama amfukuza mtoto wa Mwalimu Nyerere Butiama kijijini

    Oppenheimer nimeitazama filamu yake, masaa matatu yaliyoshiba.
  15. A

    Huzuni/furaha tunazitengeneza sisi katika haya maisha, kila unachodhani kitakupa furaha kipo neutral + SULUHISHO LAKE

    Kwa sisi tunaofuatilia Budhism kuna hii inaitwa Noble Truths: 1. Life is suffering (Dukkha) – our desires and expectations do not conform to the reality of the world, which is in a constant state of flux (Anicca), so we experience Dukkha. 2. The origin of suffering is attachment – not only do...
  16. A

    Hakuna nadharia yoyote ya Kisayansi inayoelezea kikamilifu chanzo cha ulimwengu

    Kwa hiyo ulimwengu ulijikuta tu upo ama? Kama ulivyosema hapo mwanzoni kila dhana inakwama kuelezea chanzo halisi. Lakini haimaanishi kwa kuwa hatufahamu chanzo basi hakitokuwepo.
  17. A

    Hakuna nadharia yoyote ya Kisayansi inayoelezea kikamilifu chanzo cha ulimwengu

    Nafurahi sana kuona mijadala hii inapamba moto siku za karibuni na watu wengi wanaendelea kujiuliza maswali haya. Zamani zile ilikua ni akina Kiranga na baadhi ya wachache wengine. Mimi namsubiria Elon na Xai yake tuone kama atakuja na jibu hili la chanzo cha Ulimwengunkama alivyoahidi.
  18. A

    Ulimwengu unatufundisha kitu tusichokielewa

    Mawazo chanya. Zaidi kupata ufahamu huu pitia The Kybalion: A Study of the Hermetic Philosophy of Ancient Egypt and Greece.
Back
Top Bottom