Yawezekana mzoea yameathiri utendaji wenu, tatizo laweza kuwa wewe, yeye au nyote. Jaribu kumueleza ukweli wa nini unakikosa sikuhizi na akibidi fanyeni kamtoko japo siku 3 au wiki 1 mkacheze game viwanja vya nje itasaidia kurudisha mzuka.
Yakishindikana hayo, nextweekend nitakuwa Dar kitu...
Ha ha ha, wanawake nyie, angalia asije akakimbia mazima maana atataka kujua umejifunza lini mchezo mtamu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kaka Chize, nikisoma respond zako nakumbuka mambo yako pale kwenye yale majengo nyuma ya vilima vya ESAMI, Haya mambo ya kizazi cha dot com. Usiombe yakukute, we yasikie kwa mtu.
Umeshajua box lilikuwa linafungwa mjanja akafaidi umeharibu mipango ya watu... Kama mume ulitakiwa umsifie kavaa shanga, weka yeye kwa bed fungua box kamua mazawadi kisawasawa hatatoa tena nje... Ila kama ni tabia yake pole, natamani nimjue mkeo, mi nataka zawadi ya mwaka mpya.
Sent from my...
Inaonekana hata mtumizi sahihi ya simu hauyajui, kama mtu haumjui ilipasa ujitambulishe kwanza kisha ueleze shida yako... Wacha kulaumu wakati ni uzembe wako mwenyewe.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wenzako tukizama game za nje lazima tunavaa buti, hayo ni ya kawaida sana na pengine bidada alishajua kuna sehemu umefika na akaona njia rahisi ya kukuopoa mazima ni kukutega na mzigo tu.. Pole sana!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hako ni kupita nacho tu, hauna haja ya kuumiza kichwa, toka nje kamata mzigo vitia ndani kesho akija anapitia kwako moja kwa moja...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Dogo soma, hao wapo tele tu.. Ukimaliza shule ukapata kazi watakutafuta wao, wacha kujitwisha mastress sasa, komaa na kitabu badae utawakimbia hao.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Umechemsha kidogo, kama mlikuwa marafiki ulitakiwa kufanya vitu ambavyo yeye angezisoma hisia zako kabla haujamwambia, na hapo naye bila kujitambua angeanza kukufikiria kwa mazuri yako, ulipaswa kumpa zawadi na mitoko ya ukweli akijastuka usha mgegeda, tena angeanzisha yeye. Next time jipange...
Masharobaro utawajua tu, natamani nikutane nae mimi,
Dogo wacha kulia lia utalizwa kweli we ngoja apite angazetu.
Timiza wajibu huo, tutakusaidia ukimbiwe.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mitego mingine inahitaji ujasiri kunasuka... Ila mwana ungekusanya hiyo kash, kisha unamtosa ombi mazima ili naye ajue maumivu aliyokuachia awali.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Unachotueleza hapa ni kwamba hakuna sera hata moja inayofanana kati ya CCM na CMD? Sera ikiwa inamshiko na inatkelezeka haijalishi cha msingi ni kwetu sisi walala hoi tupate ahueni kutokana na hiyo sera.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.