Tukikumbuka mauaji ya Raisi wa Rwanda,ilisemekana aliuliwa na watusi, ila ukweli ni kwamba wahutu ndiyo walimuu Raisi kwa kutungua ndege na huyo Raisi alikuwa Muhutu.
Wahutu walifanya makusudi ili wapate sababu ya kuwaua watusi kwa kuwasingizia wamemuua Raisi ambaye Mhutu mwenzio.
Na kweli...
Mama huo ndio ukomavu wa kisiasa na usomi,utapita 2015,maana wabunge hao wanaohangaika kuwajibu wapinzani,kweli hawaelewi maana ya upinzani,maana umeongea dakika kumi tu,na umekuna taifa zima,kwa maneno ya kujenga nchi,we ni mzalendo,endelea hivyo mama achana na hao wanaoshinda kujibu upinzani...
Mama huo ndio ukomavu wa kisiasa na usomi,utapita 2015,maana wabunge hao wanaohangaika kuwajibu wapinzani,kweli hawaelewi maana ya upinzani,maana umeongea dakika kumi tu,na umekuna taifa zima,kwa maneno ya kujenga nchi,we ni mzalendo,endelea hivyo mama achana na hao wanaoshinda kujibu upinzani...
kina nanii wamezoea kukata mapanga,kuchinja,na kutega ajari,mawazo ya mtu yanaheshimiwa,na mkipayuka,au kukulupuka mnawapa nguvu wanawaita wadhaifu,hasa kwa wewe uliyetangaza vita binafsi na mnyikakwa taarifa yako hujatangaza vita na mnyika,ila umetangaza vita na sauti ya uma.
Mzoea kukata kuchinja,kukata mapanga,hasa wewe uliyetangaza vita binafsi,hamuiwezi sauti ya uma,na huo ndio uzaifu,maana mtu kutoa mtazamo wake mshavimba,tena mngetafakali,wasemayo wapinzani bungeni ni yasemwayo na wananchi
Uhuru wangu, wabunge hasa wa chama tawala onyesheni ukomavu wa kisiasa, acheni kupaniki,mnavyopaniki ovyo mnazidi kuwapa umaarufu wapinzani, hilo bunge mmelishusha hadhi sana,mnatumia ubabe na hataki ukweli,watanzania tunaona, na tunachoshwa na vioja vyenu...CCM wakiongea vibaya hawatolewi nje...
Jamani Mtwara kumezinduka,
Mungu mkubwa hukomboa waja wake kwa wakati wake, miaka mitano iliyopita Watu wa Mtwara walikuwa mbali na ukweli, hawakutaka kuukubali ukweli kwamba wanateseka na maisha ya sasa, watch out in 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.