kova awaulize hawa walinzi walikuwa wapi mpaka hawa waandishi wa habari wanapita na kwenda kuangalia mechi ingawa wana silaha. Huku ndo kujipanga ulinzi unaoonekana na usio onekana?
Habri JF kuna kitu naomba kukileta kwenu tusaidiane kulitatua. Tatizo la kutojiamini mbele za watu. Mtu anaweza akawa anajua kitu lakini akaogopa kujielezea mbele za watu.hasa linapokuja swala la kujielezea kwa english,tabia ya kuogopa kuchekwa utakapokosea kujielezea..ama inapotokea umesimama...
Huyu dada nashindwa kumwelewa kabisa....hapa sijui kama anakijenga chama ama anakibomoa.....anasema yeye ni muumini wa zitto...zitto juzi kasema ndani ya chama hakuna ukanda wala ukabila...ila naona kakomaa tu na kauli zake chafu...
Na kwa nini mpaka leo hamjamvua gamba basi kama amewasaliti na kukiponda chama chenu ilhali bado ni mwanachama wenu....katiba yenu inaelezea kabisa ni namna gani mwanachama wenu anapoteza uanachama kwa mambo kadha wa kadha yalioyaorodhesha..."Ni mambumbumbu" says lissu......
Na wasiwasi kama sisi tunaojiita wanachama wa chama kama tunazielewa na kuzipitia katiba zetu za vyama....ama la sivyo basi kunauwezekano tunafunza vichwani....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.