Unaweza kufanya vyote, itategemea na chuo unachotaka kwenda kusoma, na wewe mwenyewe utakavyopangilia muda wa shule na usimamizi wa biashara. kama upo interested na biashara ni vizuri ukasomea masomo ya biashara.
Wanajamii natafuta kazi ya uhasibu. Mi ni fresh graduate, nina experience maana nilifanya field kwenye accounting department na nimewahi kuwa cashier kwenye associations za wanafunzi chuo. Kwa yeyote anaeweza nipa channel ya kazi naomba tuwasiliane kwa private message. Natanguliza shukrani.
Huwezi kuzizuia feelings ila kama una aina ya mwanamke ambaye ungependa kuwa nae (probably umeshaset standards zako) nakushauri uonane nae kwanza na mjipe muda wa kufahamiana. Kama upo katika kipindi cha kusaka mke waweza jikuta unaangukiwa na jumba bovu. I know ladys weng wa fb mvuto zero ila...
I love meeting with people,kufurahi pamoja but am new hapa. Is this thread for members wa muda mrefu or hata kwa sisi wapya?
I think watu wakishazoeana jukwaani wanaweza kujikuta wanataka kukutana ila kama hamtopatana hapa hata kuarrange for seen each other ngumu.
Nipo dar, wilaya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.