Kiongozi stany mzalendo tafadhali tuwekee hiyo link hapa, kuna siku niliiona sasa natafuta kwa sasa siioni. Ilikuwa inahusu kitunguu swaumu kutibu Fangasi.
Habari wana jamvi, Hongereni kwa shughughuli za kujenga taifa.
Mapenzi upofu,
Kwa wale madereva ukiwa barabarani na kama kuna hatari mbele lazima dereva aliye mbele atakupa ishara kwa kukuwashia taa akimanisha kuwa uendako kuna hatari,
Ama ukiwa kwenye makutano ya barabara kuna taa za...
Dogoalice achq hii maneno, Kwani hapo ofisini kwenu hamna platform ya kuiongelea hii maneno.
Kwa sababu haujataja hata taasisi au mtu unayemlenga kwa hiyo ni kazi huyo mtu kujilekebisha, au kuwa mtazamaji kwanza kabla ya kuleta thread ili ujifunze namna gani watu wanaandaa mada humu kwenye...
Hili swala la adhabu watu wa haki za binadamu wameingilia na kulipigia kelele sana, Imefika mahali hawataki watoto waende shule na fagio na makopo ya kumwagia maji maua.
Swali la kujiuliza, Je nani atafanya usafi mazingira ya shule? Mtoto atajuaje umuhimu wa kufanya usafi wa kwake binafsi na...
Mbowe alipata kumshitaki RPC wa Morogoro kwa waziri mkuu, akisema kipindi cha chama kimoja mwenyekiti wa chama mkoa alikuwa ndio mkuu wa mkoa. kipindi kile RPC likuwa yule mwanamke aliyepelekwa makao makuu ya poliso Dar.
Kwa kuruhusu Mwenyekiti kukaa kituoni, kampiga kibao askari wa barabarani...
hapo sas unanionea kwani wewe chuo umesoma kwa lugha ipi? Landmark ina hadhi gani? KIjiji, Mtaa, Mkoa, Hadhi kitaifa au kimataifa? Ukijua haya ndo utajua ujiandae kwa lugha ipi?
Jiulize Landmark wanafika wageni waaina gani local au foreign mkuu?
Na kujiamini na kile unachoongea na uwezo wa...
Hayo ndo maswali yenyewe aliyoweka hapo, Ulikokuwa majukumu yako yalikuwa ni yapi? Ni kwa mda una uzoefu? Historia yako kwa ufupi, kuanzia elimu yako ya msingi na elimu ya juu uliyonayo, umezaliwa lini? trh mwz na mwaka. Historia yako katika kazi. kwa nini unataka kufanya kazin na landmark, kwa...
itahwa Tabia, maneno na lugha unayoongea ukiwa na wapenzi wako inaweza kuwa tatizo.
Wanaume mara ningi hawapendi wanawake wakali, wenye majivuno.
Na inaonyesha umeshindwa kuficha asili yako na pia huenda ukawa na high expectation katika maisha yako ambapo wewe mwenye hata uishi karne hauwezi...
Najua LAPF wamejipanga mwaka huu,wamepeleka vijana nchi nzima kwa ajili ya kutoa maelekezo kwa walimu wa ajira mpya ili wajiunge na mfuko.
Ni bora upitie mitandao na vipeperushi vyao hao wote. Ila wote niwezi tuu kwa wafanyakazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.