Atumie vyakula vya wanga vyenye virutubisho vyote (Mfano: Brown bread -for breakfast, Brown rice, na ugali wa dona). Pia, kitafunio cha Ufuta ni kizuri sana. Vyakula hivyo husaidia kurudisha kumbukumbu. Muanzishie hivyo vyakula, halafu unipe feedback MRINGA.
Mkuu, kufanya tendo la ndoa na mwanamke mjamzito ni jambo la kawaida. Mnaweza mkafanya kwa miezi yote 9, lakini zile wiki za mwisho za uchungu mkaacha kufanya. Lakini kama mwanamke ana tatizo la miscarriage, ni vyema msifanye kabisa hicho kitendo na mvumiliane mpaka siku atakapojifungua.
Pia...
kuhusu hili suala la kwikwi, nakushauri uende hospitali upewe dawa. Ikumbukwe kwamba zipo kwikwi za presha. Kwikwi hizi huchukua siku nzima bila kuisha, hivyo ni vema uende hospitali ukapime presha na wakupe dawa ya kukata hiyo kwikwi. Hili tatizo lilimpata mzazi wangu, alikuwa ana presha na...
Ajitahidi asifanye kazi nzito, na apate bed rest. Pia hata suala la sex lisiwepo. Yani akishapata mimba yake ya kwanza, atulie kabisa na ajitahidi kupumzika. Lakini aende hospitali akapate ushauri zaidi kutoka kwa madaktari bingwa wa masuala hayo.
Aisee Magwepande umenifungua macho. Kweli Tanzania tumekwisha. Yani tumekwisha kabisaaa.. Huyo Mary Amri na wenzake wenye tabia kama yake wachukuliwe hatua kali sana. Tuna kushukuru Mkuu kwa kutufungua masikio.
kwakweli kumleta msichana mrembo zaidi yako ndani ya nyumba eti awe ndo housegirl. Ipo siku itakula kwako na utakuja kujuta. Ni her umchague msichana wa kawaida tu but si mrembo sana.
Huyu mama ameniuzi sana kwa kuchafua bunge. Hafai na wala hana hata hadhi ya kuitwa mbunge. Ni heri ajivue ubunge achaguliwe mwingine. Eti "CHADEMA ndo walihusika na kipigo cha Dr. Ulimboka." Je, ana uhakika gani na anayoongea?
Mh, but nahisi ni rumor coz hao madaktari wa-iran wakija kufanya kazi huku bila malipo wala posho yeyote, ipo siku watalipiza kisasi. Ni bora tu wasije.
BAZAZI Acha makelele wewe. Naona unaongea pumba tu. Kama hukuwa na comment si ungekaa kimya. Yani umeongea non-sense kama kijana ambaye hajaenda shule kabisa. Tulizanaaaaa....
KAKAKIIZA Yani hiyo ni NEVER coz penzi huwa halilazimishwi. Pia kama haukuwa mpango wa Mungu wa mimi na yeye kuendelea kuwa pamoja, asidhani kwamba akitumia mbinu hiyo ndipo penzi litarudi. Akae tu akijua kwamba penzi langu kwake liliisha siku nyingi sana. Hivyo anajisumbua tu.
SAMSTEVIE huwezi amini hata huyo mtu mwenyewe sijamfahamu mpaka hivi sasa. Kila nikijaribu ku-trace hiyo namba, haitoi jibu lolote. Pia nisingeshindwa kumeleza hayo kwakuwa huwa sipendi kujibu message hovyo kwa mtu nisiyemfahamu.
MTOTOWAMJINI Nilikuwa na hilo wazo la kubadilisha namba za simu, lakini nimeona hakuna haja kutokana na kwamba kwa sasa namba zangu zinatumika kazini, hivyo nitawachanganya na watu wa muhimu ambao wana namba zangu tayari. Nashukuru kwa ushauri mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.