Mama mshukuru mungu kwa kila jambo kwanza unajulikana wew ndo wakwanza dunian pia uwezo wakuwa na maisha marefu unao pia watoa wako watakuwa naakili maana watapata maziwa yakutosha.
Chakufanya viongoz tuliona mashaka nao kuhusu drug ni kuwachinjia baharini kipind cha uchaguz haiwezekani tuwapigie kura halafu ndiyo wanaotuangamiza sisi vijana. Athari za madawa ni kubwa sana kwa sisi vijana wao sio watumiaji ni wauzajituu vijana tuamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.