Owk makaka! Kigugumiz cha vidole kimenijaa makaka,any way ithink nipo right cos bado nasubiri ila watu wangu kila wakienda hupigwa kalenda tu,cjui njoni after 2weks or wait till friday! Huo ndo was was wangu.But nimewackia makaka nakuahidini kufanyia kazi.Ahsanteni
Habari za sasa,makaka madada,wa baba na wa mama.Nimekuwa na mpenzi wangu kwa kipindi kikubwa ingawa sio kikubwa kisana,cos is about 8 month.We are loving each other na kwa uaminifu wangu kwake nimejitahidi cjawahi kumsaliti hata kujaribu,hata kufikiria kufanya hivyo.But ktk macku yakaribuni as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.