huwa iantokea mara kwa mara kama kuku ndo mara yao ya kwanza kuanza kutaga,pia n ngumu kwa kuku wote kutaga kwa wakati m1,arafu unaweza kukuta kuna matasa ndani yake japo n ngumu kuyagundua,kingine cheki na chakula unachowapa kinawezekana co kizuri kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.