Natanguliza samahani,kuna m2 amepangwa hivyo kama wewe na mshua wake anapiga HESLB ameniambia hajapata kitu,yani katoka kapa na kuhusu kazi mara nyingi ni ustawi wa jamii.
ila kwa maoni yangu kutoa majibu ya waliopata mkopo sio kesho wala kesho kutwa sababu kuna wakina MUHAS walioongezewa muda wa maombi ya faculty ya enviromental health na dead line yao ndo kesho.
Nkugambilee...wazo zuri ila suala la elimu liko wazi Tanzania nzima tatizo ni umasikini na moyo binafsi wa kujituma.Wahaya mnaweza mkawapondea sana...ila vzur mkuu alishakaribisha sana kwani alijua majungu yapo,alafu lingine n kwamba huwa hakuna Ukabila miongoni mwa mmoja wetu ila kila binadamu...
kuna repoti niliyoipata kwa mwalimu wa Chuo cha UDSM idara ya COET kwamba wameanzisha mfumo wa kutoa mia kwa kupokeza mwaka hadi mwaka katika kozi za uengineer,yan Eg.Civil wapewe 100% mwaka fulani alafu coarse nyingine wapate lakini sio guaranteed kila mtu atapata 100% wengi watapata...
Fuata link hii na uisome kiumakini ili kuondoa mashaka na tetesi za mitaani.
konahabari.blogspot.com/2012/04/utaratibu-wa-mikopo-kwa-wanafunzi-wa.html?m=1
hivi hiyo LMV n nini?..mbona naisikia tu.Ila ukiona hujapata chumba mwaka wa kwanza ujue we unagundu kwani mwaka wa kwanza kupata rum la kupangiwa na chuo ni lina uwezekano mkubwa.Survey mostly n wanakaa mwaka wa 3 na 4.
nadhani tutakuwa class moja,ila nimeambiwa kuwa pindi 2takapo enda kufanya usajili ya mwanzoni mwa mwezi October tutakuta majina ya waliopangiwa hostel za ndani yameshabandikwa...so hapo n bahati yako.
Na kutafuta vyumba fanya mapema kama unataka kupanga...eneo la kupangisha kwa wanafunzi wa...
usione watu wako kimya humu ndani,wa2 nyumbani n pazuri kifedha lakini hiyo wa2 haiwahusu...kama mnajiweza ni huko kwenu unatangaza tangaza ili sisi i2saidie nini..!
Hii mada inapoenda sio pazur...maana kuna watu wanaona ni uzalilishaji na pia ni matusi yametumika kwa njia moja au nyingine.Kiustaharabu afadhali tuache kuchangia kwa kukejeliana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.