nadhani ipo sheria hiyo. kumbuka watu waliomshitaki godbless lema (japo kesi ya lema haikuwa ya mauwaji) kesi ya uchaguzi. walikuwa watu kama mimi na wewe tu. isipokuwa unatakiwa ufungue kesi ya namna hiyo kama una uhakika ina interests za madikteta wetu, or utayeyuka.
Hata mie nilitilia mashaka. Mtu mzima na PhD yake aende sehemu bila kualikwa, how come? Afu em jaribu kusoma(japo vichwa vya habari) makala za nevin meena kwenye mwananch jumapili, utajuwa tu kuwa ni gamba anayefunga na kuomba apewe ukuu wa wilaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.