Kwanin usichangie thread walizoanzisha wenzako?? Unakuja kuanzisha thread zaidi ya masaa mawil baada ya mwenzako kuanzisha, waheshimu wenzako..
RIP S.M.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo
1. Sinza
2. Kinondoni
3. Sayansi
4. Makumbusho
5. Mikocheni
Iwe ina sitting room, bed room, jiko, choo, na ka store kadogo.
Bajeti yangu ni kati ya 200K na 250K
Nipo serious ni PM au piga 0757579684
Mi ni katibu uenezi wa mtandao wa jamiiforum mkoa wa dar-es-salaam, wilaya ya temeke, kata ya yombo vituka, tarafa ya lumo, kijiji cha forkland, mtaa wa bondeni la mmasai.
Namwona mwongoza kipindi amemind sana, anasema nia si kulishutumu jeshi la police lakin indirectly naona wanalishutumu jeshi la police,
Mungu awalaani hhao police walio muua, ni wazi kuwa ni wao police waliomuua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.