Kuna mmoja yupo hosptali ya Rufaa katika jiji moja ivi aisee yule kaka ni handsome mnooo!!was thinking like akikutana na mwanamke anamwambia ukweli anafanya kazi wapi??🙆♀️🙆♀️🙆♀️
The moment nilipogundua inatangaza mambo ya ajabu nilihakikisha mtoto wangu haiangalii mpaka na yeye amezoea ikianza tu anasema hii baya toa soo siiangalii kabisa.
Hiyo sasa ni ya bei???imagine mtu anavishwa pete ya white gold ina jiwe la kutosha la Tanzanite na vinakshi vya diamond!!kuna watu wamevishwa bei za Passo sembuse hiyo...!!
Kwa wakati huu kuna njia nyingi sana tena nzuri za kuhifadhi maziwa ya mama kwa kuhakikisha mama anakamua maziwa yake kwa kifaa maalumu(maana kwa mkono anaweza kuchoka) na kisha kuyahifadhi katika chupa maalumu za maziwa ya mtoto na kuyaweka kwenye fridge hasa freezer ili mtoto apewe mama...
Ndugu kila siku wewe ufanyage tu B na C mwenzio yeye afanye B tu kila siku nenda rudi?????lazima utachoka tuu sie ni binadamu na tuna roho na nyama mbaya zaidi maumivu utafika muda utakua NUMB huumii tena ikifika hapa trust me hutakumbuka kufanya B wala cha C utafanya D na kuendelea...!!!
German energy secretary backs forest clearance to build coal mine
Thomas Bareiß says use of polluting fuel at RWE plant is needed to keep the lights on
Adam Vaughan
@adamvaughan_uk
Mon 1 Oct 2018 11.45 EDT Last modified on Tue 2 Oct 2018 07.01 EDT
This article is over 3 months old...
European court of human rights, european union, france, marriage, same-sex 'marriage'
STRASBOURG, France, June 29, 2016 (LifeSiteNews)— The European Court for Human Rights has ruled that same-sex “marriages” are not considered a human right, making it clear that homosexual partnerships do not in...
Tatizo na nyie hamueleweki unaweza kua mzuri kama malaika, figure sanchi anasubiri sura msomali/mnyarandwa, bado una roho nzuri, mafanikio kila idara na nyumbani unamheshimu kama mume hapa namaanisha unasifa zoteeee za mke mwema, umemzalia watoto wazuri na unawalea vizuri na bado akakucheat, na...
:):):) unanifurahisha kweli ndugu hakuna mbabe wa maisha wote tunaishi kwa rehema na neema za MUNGU hapa duniani ndoo maana tuaanambiwa katika maandiko tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mengine yoteee mtaongezewaa.
Dhambi tumeumbiwa wanadamu ndo maana akaja YESU AKATUKOMBOA MSALABANI KWA DAMU...
I wish i could tell all about me hapa ila ndo ivyo i cant.What you need to know ni kuwa MUNGU NDO MPANGAJI WA FUTURE YA MTU SIO BINADAMU. nina kazi ndio,nina kipato cha kawaida, na mengineyo ulotaja ila 2 of the men wanaotoa proposal wananizidi kwa kipato sasa hapo hiyo theory yako sijui inaaply...
KakaJambazi you made my day am a single mother lakini nina proposal zidi ya tatu za ndoa soo usitishie single mothers humu isitoshe wapo wanaoolewa na wanadumu Mungu ndo mpangaji wa future ya mwanandamu not mwanadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.