Wakuu hiki kipindi hawa wanaojiita maaskofu mbona wanahubiri siasa za ccm? Wanadai eti mfumo uliopo isibadilishwe kwakua tutarudi kuanza kuitafuta upya amani
Hawa watu wapuuzwe sana kwakua wanaleta chuki na upotoshaji
Samahani mkuu namaanisha umri wa 35 ni mtu mzima ambaye anahitahi kufanya mambo mengine ya maana zaidi ya kutafuta mke kwasababu naamini kwa walio wengi umri huo wanakua wamesha oa
Heshima kwenu wanajamvi,
Labda nianze kwa kusema yamenifika hapaa! Mimi ni graduate wa moja ya business related courses katika moja ya vyuo hapa nchini.Nimewahi kuwa na girlfriend wakati wangu wa chuo ila Drama zilinishinda and i decided to be single and the plan was successful.
Ila sasa...
mkuu umenena vyema sana kwakweli huu ni upoyoyo kama anaogopa kutoa talaka tafuta nyumba ndogo huku mwache yeye akae na wewe uwe unakuja kuangalia tu watoto ila papuchi yake na wewe susa kula the fresh one ila usiache kulipa ada na mazagazaga mengine ya watoto na usisahau kuondoka na hati za...
E-bay zinauzwa kibao, waswahili wengi wanaotumia iPone hawajui na wala hawaoni umuhimu wa feature ya find my iPhone, any way shida yangu ni kuuliza nielimishwe maana elimu haina mwisho.
Mkuu suala la mdahalo wa wazi ni mwiba mchungu sana kwa baandhi ya vyama ni ngumu sana hilo kufanyika labda liwepo kikatiba kabisa vinginevyo kuna vyama vitapiga vita sana suala hilo na halitakaa litokee ni kama 2010 midahalo ya michakato majimboni ilivyowaponza baadhi ya waandaaji mpaka...
Wanajamvi heshima kwenu, kumekua na hii dhana ambayo baadhi ya wanasiasa wanaitumia sasa kuusaka uraisi maarufu kama "Tanzania mpya" ndani ya dhana hii mambo yanayoongelewa ni pamoja na uadilifu wa viongozi, mgawanyo sawa wa rasilimali za nchi, serikali rafiki kwa wananchi kwamaana ya inayosikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.