ndugu zangu nataraji kupata jiko au mke wa kuoa sijui wenzangu ambao mpo katika ndoa naomba ushauri wa mambo gani nizingatie kwa huyo mke ili niweze mfaidi sio kujitui tena hyo ndoa.?
pole sana mwanajamii navyo hona hapo mfate baba mwenye nyumba mwambie issue nzima alafu msikilize na huyo mfanyakaz wako muondoee hapo kwako maana hutakiwi kulipa baya wewe fanya jema muombee mungu hakuna njia nyingine ndio ishakuwa hvyo tayarkwa upande wangu ndio hayo tu pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.