Sober naona na wewe ni mmoja wa watu wanaokuwa wanapinga hoja za watu bila kutoa mapendekezo yoyote kitu ambacho hujitokeza kwa jamii isiyokuwa na elimu na uelewa wa kutosha. Mnyika ana haki kwa maoni yake binafsi nawe toa maoni yako. Kusema eti aachie wataalamu wakati hao wataalamu ndio...
Kumbuka kuwa hao vigogo walipeleka na majina ya watoto/ndugu/rafiki zao na pia kuna viwanja cilivyochukuliwa na mashika mbalimbali kwa mfano TBA(Tanzania building agency), benki iliyoikopesha manispaa, wizara mbalimbali, Ikulu n.k. Viwanja vilivyobaki kwa wananchi wa kawaida ni vichache sana...
Hii sheria ni unafiki tu, wizi mtupu. Pesa za uwekezaji ni kwa manufaa ya mabosi wa mifuko na wafanyabiashara wasio waaminifu. Hebu CAG aulize bei za ardhi zinazonunuliwa na mifuko hii ya kijamii iko inflated vibaya. Wafuatilie hayo na pia wafuatilie utajiri wa mabosi hao na ndugu zao. Hii kitu...
Hii serikali ina watu waliochafuka na kunuka rushwa. Kama ni sheria wamepitisha iwe ni kwa wanachama wapya kama walivyofanya kwenye misamahaa ya kodi ya mafuta kwenye makampuni ya uchimbaji madini. Mbona wamesema sheria inafanya kazi kwa makampuni mapya ila wale wa zamani haitawahusu.
Kuna...
Kwa nini watu wengine wanachangia bila kufikiria, hata kama mtu amekosea kuelezea mada lakini kila kitu kuhusu madokta kinaeleweka.
Nyie mnaochangia na kukejeli madaktari mna akili finyu na uwezo mdogo sana wa kufikiria. Sina mengi ya kuwaambia ila inawezekana ni sababu ya malezi kitu ambacho...
Unajua hivyo viti wamekodisha kwa sh ngapi? Ni milioni 15, na hayo mafuso ya kubeba watu kuleta jangwani na kuwarudisha ni mil 21, posho za watu waliokodishwa kuhudhuria ni watu 2000*15000=30,000,000. Hapo sijapata bei za posho kwa wadau wa CCM waliohamasisha watu kuja na za viongozi wengine...
Anaorodhesha nini huyo wakati ndio kazi ambayo anatakiwa kufanya. Sasa mwalimu atajisifu kuwa anafundisha darasani? Asipofundisha atafanya nini? Ccm hawana lao tena. Kodi tukatwe sie, wenyewe wajisifu eti wamejenga barabara! Wametoa pesa kwenye biashara za CCM kwani?
Sent from my BlackBerry...
Shamba lenye ukubwa wa ekari 50 linauzwa Mlandizi. Maelezo yake ni kama ilivyoelezwa hapo chiniLipo umbali wa km 15 toka Morogoro road ukifuata barabara ya Mlandizi kwenda Bagamoyo. Ukifika sehemu inatwa Miswe (mwembe duka) unaingia ndani mita 500 tu. Ni barabara ya gari ambayo inaenda shambani...
Shamba lenye ukubwa wa ekari 50 linauzwa Mlandizi. Maelezo yake ni kama ilivyoelezwa hapo chiniLipo umbali wa km 15 toka Morogoro road ukifuata barabara ya Mlandizi kwenda Bagamoyo. Ukifika sehemu inatwa Miswe (mwembe duka) unaingia ndani mita 500 tu. Ni barabara ya gari ambayo inaenda shambani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.