Nakubaliana kabisa kuwa CCM walivyo hii kasi yetu ya kutaka mapinduzi hawaiwezi lakini sasa ni chama gani ambacho kitaweza kwenda na kasi ambayo sisi tunataka kwenda nayo? au ndio old wine in new bottle? Kama haya yasemwayo hapo yana ukweli basi hakuna chama kitakachoweza kutufikisha kule...
CHADEMA na CCM wote ni wale wale kwani kila mmoja ana nia ya kutawala tu ndio maana mnatuletea uzi nyingi za kutugonganisha vichwa walala hoi. CCM tumekaa nanyi kwa miaka mingi alipoondoka mwenye chama chake kila mmoja akaanzabkukunja jamvi alilokalia mpaka sasa ni miaka 50. Najua chadema nao...
uzi huu unafurahisha sana.. Mke wangu nimembikiri mwenyewe kabisa na kuna wengine kama watano hivi nimewabikiri mwenyewe na wote wameolewa sasa hapo mnataka nieleza nn?
Dahhhhhh hivi mnajua kuwa CCM wameshatudanganya sana? Na ndio maana tumekuja huku sasa mbona na huku mnatudanganya tu kama CCM? Hivi mnatuaminisha nn? mnatuona sisi mambumbumbu sana?
Tukubali tusikubali huyu bwana alikuwa kichwa, mengi aliyoyafanya si rahisi kuyajua ila asingeyafanya ndio tungeyajua na kumlaumu. ila kila mtu anamtazamo wake juu ya kitu/vitu/ watu. sikushangai julius.
Jamco_Za; Tunachotofautiana na viongozi ni ule uwezo wao wa kuona mbele kuliko wale wanaoongozwa hiyo ndio tofauti iliyopo, sasa shida inakuja ni pale kiongozi anapokuwa fisadi na mzandiki, maana anachokiona yeye huko mbele badala ya kutuongoza kwa faida yetu wote wao wanatungoza kwa faida yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.