Mbunge wa Musoma Mjini mh , Nyerere anatarajiwa kufanya mikutano kwa siku mbili mfululizo jimbo la Isimani Mkoani Iringa. Mikutano hiyo itafanyika tar.11 na 12 Januari 2015 .
Pamoja na mambo mengine mikutano hiyo inabeba ujumbe wa kuwashukuru wananchi kwa kuichagua CHADEMA na kutoa...
Wakati Wabunge wanabishana nani awajibike nani asiwajibike.......watanzania mahospitalini wanaendelea kukata Roho kwa kukosa madawa na matibabu muhimu.........." Hakika wale ambao huwa mara zote wanataka Nchi hii iongozwe kidikteta pengine huwa hawakosei " ni kutokana na Ugoigoi wa Viongozi...
.....kinachoendelea Mjini Dodoma sasa hivi yangu waheshimiwa Wabunge wameanza kujadili mapendekezo ya kamati ya PAC .....ni Wabunge wa Upinzani peke yao wanabishana na Serikali.
Huku Lisu , Mdee , Mnyika , Zitto kwa upande wa Uponzani na kwa upande mwingine wa Serikali ni Kairuki na...
Taifa linaelekea pabaya sana , huu utakuwa muda na wakati muafaka ambao watanzania kwa ujumla wetu kutafakari ama tuendelee kutawaliwa na hiki kikundi kichache cha walafi na waroho wa keki ya Taifa au kuiondoa hii Serikali ya kifidadi madarakani.
Binafsi nawafahamu wote hawa bw, AIDAN PUGILI na MDEDE tumefanya kazi ya ukombozi psmoja uciku na mchana so cha muhimu hapa we have to wait until the party CHADEMA entitle one of them to contest for KALENGA constituency, may God bless them all.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.