Zaburi 150:1-6
[1]Haleluya.
Msifuni Mungu katika patakatifu pake;
Msifuni katika anga la uweza wake.
[2]Msifuni kwa matendo yake makuu;
Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
[3]Msifuni kwa mvumo wa baragumu;
Msifuni kwa kinanda na kinubi;
[4]Msifuni kwa matari na kucheza;
Msifuni kwa...
Umenikumbusha wiki tatu zilizopita. Alinipa namba yake nami nikampatia yangu. Baada ya muda kama saa moja nikakuta sms ikisema. “ Samahani naomba unisaidie shilingi 20,000, nimpeleke mama hospital BP imepanda na hapa sina pesa nitakurudishia mwishoni mwa mwezi. Nakushukuru kwa msaada wako kama...
Makampuni karibu yote yamesha hama kwenye 2G. TTCL bado wapo 2G. Boresheni huduma zenu vizuri. Kwa sasa Voda wameanza na 5G. Sijui TTCL yetu tutahamia lini kwenye 3G.
Naomba kuuliza. Hizi namba zamagari zinaanzia na namba ngapi. Maana sijawahi kuiona namba T 001DZA. Mara nyingi nazikuta Ni kuanzia T101 DZA. Je wanaanza kutoa namba 001 au zinaanzia 101,
Anatokea dirishani kwa kujibana. Ukienda pale bandari angalia kontena lililopakiwa gari, utakuta dirisha la mbele la gari la kushoto au kulia utakuta liko wazi.
Kwa sisi waafrika hatuna DNA. DNA yetu ni kitanda hakizai haramu. DNA inawafaa wazungu kwa sababu wanandoa za mkataba. Ili kupunguza kubambikiwa watoto ambao watazaliwa mkataba wao wakaona watengeneze DNA. Na ukitaka kuona siku zako za kuishi zinapungua nenda kapime watoto wako DNA utakufa kabla...
Mboreshe na hili la MB ilikununua kifurushi kingine salio libaki Mb 50, ndipo unaweza kuongeza mb zingine. Wafanye kama Halotel unaweza kuongeza MB hata kama salio la mb ni 3Gb utaongeza tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.