Search results

  1. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Hivi wewe umeambiwa na nani kama unaakili wewe mwenyewe, kwasababu ukionacho kwenye sura ya mwenzako ndio ulichonacho wewe. Suluhu ya kwenye meza ni kwa wenye akili wanaoambiwa wakajiambia na kusikia - wewe unaambiwa hatutaki muungano unang'ang'ana musijadili muungano ila katiba tu, ebo! hivi...
  2. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Ndugu yangu usiwe na hofu juu ya hili, sisi Wazanzibari tuna-experience ambayo nyie wenzetu wa bongo hamna, Tukipitia chama wasema hawa wanataka kutugawa na kumwambia tendwa wafute na watatusimamisha mara moja. Ila kwenye msikiti nani ataufunga - hayupo na kama wanataka wajaribu tu, wameona...
  3. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Jibu muhimu ni moja tuu, Wazanzibari ndio walio nyuma yao na ndio wanaowapa nguvu hizo, Zanzibaris are behind them and fully committed
  4. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Amani haitokuwepo kama hujaanza na vita - Hivi kweli kama mwanamke uliye muoa akikwambia kuwa sikutaki tena basi niache, utaendelea kuishi nae - labda kwa wenye vichwa vilivyozidi nyuma - sasa sisi tumesema basi hatutaki tena muungano jamani hebu tuacheni na ki-jinchi chetu, hivi mumeona wapi...
  5. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Mie kwa kuongezea ujumbe kwa Mohamed Aboud, hivi wewe wa wapi? inabidi tujiulize - mapinduzi ya mwaka 1964 wewe ulikuwa wapi? inaonesha ulikuwa hujaja zanzibar (unguja na pemba) kweli enhe?
  6. H

    Hatutarudi nyuma – Sheikh Farid

    Unanifurahisha sana kutambua kuwa nchi yetu ni ndogo kiasi cha kuidharau, kwanini usiwaambie na wenzako kama JK na wengine wanaoing'ang'ania watuachie sisi tumeridhika na hichi kijinchi chetu tuacheni tubanane wenyewe sasa hatutaki tena kubanwabanwa na watu wenye kutupangia yakufanya......ilhali...
Back
Top Bottom