inaonekana bimkubwa wako hakuwa anapata tetes zozote za mahusiano ya mtoto wao,so hiyo ni njia ya kumfanya ajue kwamba ana dume la mbigu, hivyo mwambie unae mkwewe mtarajiwa atakuelewa na hatakusumbua tena, wakinamama wanapenda kujua mishemishe za watoto wao kuhusu mahusiano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.