Nafikiri umekurupuka ukaandika usichokijua,fuatilia mchakato wote kwa makini ndipo uandike kitu chenye maana,CUF Zanzibar walishinda uchaguzi lakini kutokana na ccm kutokubali kushindwa wamefuta matokeo,je huku bara kura zinajumlishwa vizuri au watu wa IT wa ccm wanayachakachua? kwa maoni yangu...
Huyu ametumika na ccm,kwa sababu kama ni mpizani kwanini hajaongelea mabaya yoyote ya ccm? nimemsikiliza vizuri tu kazi yake kubwa ni kumshambulia mgombea wa ukawa kwamba ni mgonjwa fisadi nk.wao wanaomsema mh.Lowasa kwa swala la ugonjwa inatakiwa wakatubu dhambi hiyo sababu kila mtu hana...
Hata ukiandika maneno ya kizushi yasiyo na ukweli wowote haitasaidia kitu,ccm imevunda na la kuvunda halina ubani.tukutane 25 oct ndio utajua watu wameichoka ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.