Mkuu hao unaosema wanaelewa lakini hawazungumzi wamerudi kwenye ule utamaduni wetu, "the culture of silence and fear." Ni ule wakati wa kuwaita wale wenye mawazo tofauti na wewe kuwa wana mawazo ya kufugwa. Tunaambiwa tuongee tu mambo yanayoleta sembe kwenye sahani. Lakini hao wanaosema hivyo...
Aone ni opportunity kwake? Hawezi kuwa so mean. Mtu anayependa demockrasia ya kweli anatakiwa ashinde kiukweli sio kwa vile kuna mwingine hakuweza kugombea for some reason or otner
Wewe ulipokuwa unasikia kiwango cha elimu kimeshuka ulikuwa unaelewa nini? Kama hawa ni wanavyuo je sisi mbumbumbu mzungu wa reli itakuwaje. Kuna mwalimu wangu zamani ilikuwa ukisema mambo ya ajabu anakuambia "you are not educated at all" sisi tukafikiri ana kichaa
Precious blood? Do African dictators consider the blood of their fellow Africans precious? Where do these dictators get the moral authority to talk about immorality? This talk is a non-issue. Africans have no more blood to shed. It is being shed and sucked all the time by these dictators
Serikali iache ubabe? Rais wa zamani wa Marekani, Thomas Jafferson anatuambia hivi: "EXPERIENCE HAS SHOWN THAT EVEN UNDER THE BEST FORMS OF GOVERNMENT, THOSE ENTRUSTED WITH POWER HAVE, IN TIME, AND BY SLOW OPERATIONS, PERVERTED IT INTO TYRANNY".
Hiyo ni empty sloganeering kama kawaida mkuu. Hizo big results zinaanzia sekondari? Mwana filosofia Plato anasema "THE MOST IMPORTANT PART OF EDUCATION IS PROPER TRAINING IN THE NURSERY". Sisi wanatoka praimari hawajui kusoma wala kuandika.
"Change does not roll in on the wheels of inevitability, but comes through CONTINOUS STRUGGLE, and so we must straighten our backs and work for our freedom. A man can't ride you unless your back is bent."-Martin Luther King Jr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.