Mimi nafikiri kama ni kosa basi hakuna kosa kubwa kama taarifa za uongo.
Imefika wakati sasa kuwepo na kitengo cha kutunza taarifa na ziwe sahihi na siyo za kubabaisha kwa sababu bila hivyo nchi yetu itafika mahali itahukumu watu vifo wakati hawahusiki.
Nasema hivyo kwani huko tulikotoka...
Nalileta kwenu kama changamoto ya mawazo
Kwani nionavyo mimi ingawa siyo mwanasiasa mfumo unaofutwa na nchi za magharibi kwa kuwepo na vyama viwili vya siasa na kuruhusu mgombea binafsi /independent kunaleta uwajibikaji mkubwa katika serikali.
Watanzania wenzangu tumeona kesi zinafunguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.