Biashara iendeshwe na wafanya biashara! Hakuna sababu ya kwanini tusiwe na ndege za nchi hii! wapange na wapangue, wanaowajibika na wenye uwezo wa kuendesha shirika la ndege wafanye hivyo.
Tusibeze uhuru hata kidogo. Haki ya kujitawala ni haki ya msingi hata kama katika kujitawala huko utafanya madudu. Viongozi waasisi kazi yao ilikuwa ukombozi, waliofuata ndio wametufikisha hapa tulipo, sisi sasa tuangalie maendeleo. Kufikiri matokeo ya uhuru yalipaswa kuwa maendeleo ya...
Kwanini wasiendelee kudharau iwapo wanajua cha mwisho wasomaji wanachoweza kufanyi ni uchambuzi tu! Kama matokea ya msomaji yanatabirika kwa mwandishi, kwanini apate hofu! Labda katika hili tume huru/binafsi/wakereketwa ndio zinapaswa kuibuka kuandika kwa kina!
People do work every day! How do we define labour and how is it linked to the market those are totally different question!
Labour using Marx in general terms, warned the danger of making labour a commodity, however, his concern was more on the relationship between labour, accumulation, and...
In context of neo capitalism an economic man might see, ideas of collective production, ownership and/or distribution impractical. However, what is important in understanding ujamaa ideology, which partly draw from hunters and gathers societies, it provides an alternative model of organizing...
Sio vizuri kupuuza chembe za mabadiliko hata kama Yule apendekezaye anamapungufu. Kwani ni kujinyima fursa ya mabadiliko. Nadhani uwajibikaji maana huo ukiwekewa utaratibu utatufaa baadaye
Ndio lile swala langu la "ya". Unapoibinafisha nafasi ya uongozi kwa jina la mtu inakuwa tatizo. Serikali ya time ya - ni matatizo ya kiutendaji, umiliki, hata kuwajibisha
Katika hotuba yake (Raisi) ametoa utaratibu mpya wa uwajibikaji ambao naona ni mzuri iwapo utajengewa utaratibu wa wazi. Kasema kuanzia sasa, uwajibikaji utahusisha utahusisha makundi Matatu: moja, ni wale wenye dhamana ya kisiasa (mawaziri), pili watendaji wa wizara(makatibu na wakurugenzi)...
Nianze na kumpongeza Raisi kwa kubadilisha baraza la mawaziri, bila kuongelea ubora wa baraza la hilo ama mchakato wake, kwani huu ni mjadala mwingine na unaendelea. Mimi nianze na hili baraza tulionalo, maana ndio lishakuwa baraza sasa, na muda wake wa kazi ni miaka mitatu tu. Napata hofu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.