Kufuatia mtirikio wa siasa za Tanzania na uwepo wa Lowassa Lowassa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi Katiba ya Warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na...
kitu kinacho nishangaza kwa nini ofisi ya waziri mkuu iingilie kat suala la mtu binafsi hongera mkurugenzi wa crdb kwa na maoyo wa kuchapa kazi wamezowea kula pesa kirahisi hivyo
Ikiwa polisi inasema imekabiliana na majambazi Tanga, Je kuna picture ya polisi aliyejeruhiwa na kuuwawa? Taarifa ya kuuwawa Polisi iliwahi kutolewa kwenye vituo vya TV; ITV, TBC, Star TV na ZBC.
Je, kuna kiongozi yoyote alikwenda kuwatembelea askari majeruhi au askari alieuwawa kutokana na...
nchi ambazo russia ana uhusiano nazo zina maendeleo makubwa mfano libia venezuela brazil syria iraq angola bowsana na ndo maana mmarekani huzipiga na kuzivuruga hta iranan itizame
serekali imetumia pesa nyingi kumsafirisha kwa helikopta na kusababisha vurugu zisizo na msingi kwa kutaka kumpiga risasi
sasa leo umamuachiamhuru sio mchochezi
unakamata watu hawana haitia kwa kuupinga muungano tunasema hatttaki na utavujia tu namole wenu kuchechea udini itafika kipindi waisilamu watahisi wanaonewa heri ya ebola majanga
nyinyi tanganika hata tukikubangiweni hamusikii sasa itabidi tuanzishe sera kama za wajerumani dhidi ya wageni nchini mwao au sera za ma huligani wa kirusi dhidi ya watanganyika
sasa munajuwa wazanzibar hatutaki na kwa yakini munajuwa tunakubaguweni lakini munajitowa fahamu muungano hatuutakiwazanibar muuungano hatuutaki muuungano hatuuutaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.