katika kusma udaktari kuna masomo mbalimbali ambayo ufaulu wake uko katika grades A hadi C. Ili kuweza kuchukua master degree inamhitaji kupata kuanzia B, B+ ama A mwanafunzi lakini hata kama ulipata C na hukuweza kuendelea na masomo ya juu zaidi, bado utahitimu na kupewa leseni kama wenzako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.