Vitu vingine ni kuvichukulia simple, pengine anayeongea yupo mbali na tabia hizo, ameamua tu kuchemsha vichwa vya watu.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Kwa nn watu wasikamatwe wakati kuna watu wamepewa dhamana ya kuwakamata. Suala la Kibiti mbona lilifika bungeni na majina yakatajwa ya waliopotea mikononi mwa vikosi vyetu. Pengine umepoteza kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi hii yaweza kuwa rahisi sana, kinachotakiwa ni uchunguzi huru. Nakuongezea maswali, je risasi zilipigwa mbele, nyuma au pembeni ya Lissu, je! risasi yaweza kupoteza mwelekeo ikikutana na kizingiti, je! uelekeo wa gari ya wasiojulikana na gari ya Lissu ulikuwaje, je! uchunguzi wa awali wa...
Maswali ya kujiuliza ni mengi sana lakini kwa uchache tu ni kwamba, Mhariri amekuwa na lipi kubwa kwa usalama wa Nchi kwa ulishaji wake wa habari, pengine ana maadui binafsi nje ya mfumo dola, je, ni kweli kitendo kimechotokea ni sababu ya ulevi uliopitiliza, historia yake ya unywaji imekaa...
Fanya utafiti ndio uje uchangie hapa, kwa maelezo ya Ponda, maelezo ya majirani na kwa mujibu wa magazeti usingekuja na vijiswali. Siku nyingine tumia vijiswali hivyo kufanya utafiti ili uchangie vizuri vinginevyo inaonekana una uelekeo wa kinafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sheria inayomlazimisha mwajiriwa kujiunga na vyama Vya hiyari Vya wafanyakazi pia mwajiri kukata makato bila idhini ya mwajiriwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau kisa cha Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bw. Kleruu. Kisa cha Mzee Mwinyi, msafara wa Mhe. Kurushiwa mawe Mbeya, mwenyekiti wa chama kupigwa kwa mawe hadi kifo kule Mwanza!! Waganda wana vingi vya kujifunza pia kutoka kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana, na hawataweka hayo makatambuga lakini kila litajapo jina la mudi mwili wako unavimba nusu kupasuka. Mtenda akitendwa.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Anahangahika na watu wameosababisha maisha magumu. Halafu wewe kumjua ana madeni ya kutosha na hapati milo mitatu isiwe sababu ya kumfunga mdomo, kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake. Binadamu ni binadamu hawezi kuwa mbwa hata kama ni sifa haiwezi kuwa kwa majina haya.
Sent from my TECNO-J8...
Ethiopia ni mfanikiwa kwa nadharia, kwanza tutapeleka ndege zetu kwa matengenezo kisha watatuuzia umeme ambao utatudumaza akili zetu kwa miongo kadhaa. Kuhusu suala la mizigo labda Serikali tu lkn kwa mfanyabiashara hawezi Ku afford gharama kubwa ya usafiri labda km watapitisha pasipo ushuru...
Jaribu kufikiri kidogo, kutoka Djibouti mpaka Addis Ababa ni km 857 na kutoka Dar es salaam hadi Addis Ababa ni km 2370. Ni mfanyabiashara gani aache Djibouti aje bandari salama. Ni wakati wa kusubiri na kuona.
Unaweza usione kutokana na upeo wa fikra ulionao. Umevamiwa na jambazi nyumbani kwako, anataka mfuko wa pesa uliotoka nao Bank na wewe ukawa cooperative ukampatia akaondoka zake bila kuwa threat kwako. Ikitokea majirani wakakuuliza hajakujeruhi sehemu yoyote nawe ukasema hata sijaguswa. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.