jua kwamba mwanamke ana nguvu kubwa ya kumu badirisha mwaume kukweli mpaka hapo mumeo anatimiza wajibu wandoa yake kwako ila jua moyon mwake umechuja. dada bado unafasi ya kuludisha ndoa yako. kama wote mnaenda kazini basi we uwe kwaza kuludi na yeye analudi akukute smalt and sex look na mpokee...
tukisema zifutwe kweli hatuta fika wanafunzi wengi siku iz itoshe shule za serekari zenyewe chach watafuta credeti watasoma wapi kama haito bado idadi ya watu inapanda kwa kasi tukizi funga tutasoma kweli. Ila nakubali ana na wewe kusema ni ghalama sana bac tuombe serekeri iweze kuzuia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.