thanx. ni kweli tena nilikuwa na miezi miwili tu kazini. sija-settle, sijajua hata ujanja wa kuomba ruksa. ila nilivyoona wametangaza na ukizingatia nimesomea finance na kazi ninayofanya haitumii sana knowledge ya finance, nikaona nijaribu. pia nirudi jijini ambapo nina network ya marafiki pia...
ni mtazamo wake tu. wanafunzi wengi hawachukuani. utashangaa mwanachuo anamchukua mama lishe nk au anachukuliwa na mjasiriamali. so kila sehemu ni hatari tupu.
hao advans ni wahuni. kuna ka-dada flani pale ni hr, simwelewi kabisa. mwaka jana nilifanya interview ya market assistant; tulikuwa watu 5. wanaume watatu na wanawake wawili kwa nafasi 2. tuliitwa interview watu nane tukaja watano. wale washkaj tukapeana no za cm, then wk inayofuata wakanipigia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.