"Wahenga walisema mfa maji hakosi kutapatapa"na ukweli uko hivi "huwezi kushindana na wakati,wakati ukifika umefika tu huwezi kuugeuza wala kuubadilisha" Biblia inasema.
Kila jambo chini ya jua liko kwa wakati.NI VEMA CCM IKAJUA KWAMBA WAKATI WAKE WA KUENDELEA KUKANDAMIZA NA KUDANGANYA...
:A S 20:
Tanzania imeendelea kufanya mambo ya aibu ilihali dunia inatuchangaa.Hivi karibuni yameripotiwa mauaji ya kijana albino mwenye umri wa kati ya miaka 25 na 30 waliyodai yamefanyika kwa imani za kishirikina kutokana na wauaji kumkata mikono yote miwili, sehemu za siri, na kuondoka...
Imekuwa ni hamu na ndoto za muda mrefu kwa watanzania kuipata TANZANIA waitakayo. Tanzania inayojali usawa,Tanzania ambayo watu wake wanapata huduma bora za afya, elimu,miundo mbinu bora, Barabara, reli, viwanja vya ndege na ustawi bora kwa watanzania wote, Viongozi bora wa kisiasa wanaojali...
Imekuwa ni hamu na ndoto za muda mrefu kwa watanzania kuipata TANZANIA waitakayo.
Tanzania inayojali usawa,Tanzania ambayo watu wake wanapata huduma bora za afya, elimu, miundo mbinu bora, Barabara, reli, viwanja vya ndege na ustawi bora kwa watanzania wote, Viongozi bora wa kisiasa wanaojali...
Jamani tuache kudanganyana na kuwapa watu majina ya sifa na kuwasifu wakati ni upuuzi mtupu,! kilichofanywa jana na wanaCCM jangwani ni kukumbuka shuka wakati kumekucha au ni kama msemo usemao "mfa maji hakosi kutapatapa".Miaka 50 walikuwa wapi?
Hali hii inatisha,inasikitisha tena inahuzunisha sana,Nadhani kama ingekuwa ndo msikiti umechomwa hali ingekuwa mbaya sana, pangekuwa hapatoshi Tanzania na wengi wakristo wangekuwa wakimbizi kwa sababu hakuna wa kuwatetea ila MUNGU wao tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.