Jokakuu, "UBUNIFU" Mkuu 90% ya waajiriwa hasa wa Serekalini + Mawaziri na Makatibu wakuu wao hilo neno hawalijui wala hawajalisikia. Jamaa wanafanya kazi zao wakiwa ndani ya BOX hawaoni nje wala wajui kinachoendelea Duniani. Aliekalia kiti na meza anaona juu ya meza yake tu, hana tahadhari ya...
Yaelekea wewe ni Muhindi si Mzaire Angalia kihindi ulichoandika ndani ya mistari yako.
Kama unatarajia fadhila za kina Jusa na hao waarabu kina Azani umekula hasara sana.
Na hapa hapataki Jazba Mkongo (kwanza unapiga chombo gani cha Muziki kama wewe Mzaire kweli?) Hapa ni mahali pa mjadala Hoja...
Sangara anamainisha: Mnakariri Aya na Hadithi na Kuzitolea tafsiri kama KASUKU kwani Utekelezaji wa yale unayohubiri ndio unaohesabika.
Kama tulivyoyaona Mashehe wetu AZAN na FARID na Wafuasi wao wameishia kwenye Mtego ule ule........................!!
Lilipoanza kubana yeye alikuwa hai, Kwa nini ASILIVUE??
Yeye Ndie aliepima koti hilo Kwa saizi yake sasa nyie Mtalivuaje na koti si lenu?
Lazima alimrithisha mwanae AMANI, hakuzikwa nalo yy ni Mwislamu.
Na Amani alilivaa kwa miaka KUMI mkamateni yeye ndie mwenye Koti la babie, au bado mnaiogopa...
Mufti Simba;
Asalam Aleikukum
Ninavyoelewa mimi hawa Ndugu wa UAMSHO & CO. wamepewa Sikio kubwa sana na Serekali ya Mapinduzi na ndio maana waliweza kuunda huo umoja na ukasajiliwa.
Na wakaweza kuzishawishi jumuia nyingine zishiriki katika harakati zao.
Kwa bahati Mbaya ya makusudi kabisa...
Ngongo:
Hii misemo ya Kiswahili:
Kipenda roho hula Nyama mbichi. na
Ukipenda Chongo utaiita Kengeza.
Kwavile jamaa wameipenda CDM basi isijadiliwe wala Isikosolewe!
Hata pesa kama zatokana na Wanachama kuna kila sababu zitumike vizuri, hasa ukizingatia Umaskini na Udhaifu wa Wachangiaji...
Katika moja ya mihadara ya UAMSHO 26/052012. Mada: Histori ya Zanzibar. Shk mtoa mada pomoja na kutia Chumvi na kupindisha Histori kwa anavyopenda yeye isomeke pia alinukuliwa akisema "Wazanzibari wote ni Waarabu".
Najaribu kuangalia picha hizo za video na hizi za Matukio yaliyojitokeza jana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.