MIGNON unamatitzo ya akili tunakufahamu ukiona thread yenye ujumbe chanya utalazimisha iwe hasi tu kwa namna yoyote. Sasa Mh. Pinda anasema utpigwa tu!
chishango: Nakusikitikia kuwa unaongea mambo ambayo huna unalolijua. Huna aibu unadanganya kweupe. Bandari ya Kigoma ni kampuni ya Burundi iliyopata kazi hiyo. Sasa ukweli wako upo wapi!
Ni dhahiri kuwa Ridhiwani Kikwete ataleta mabadiliko ya kweli Chalinze. Ataendeleza pale baba yake alipoishia na kuenzi yale mazuri ya hayati Bwanamdogo. Umahiri wake umeonyesha anavyolipenda Taifa hili na alivyo mtu wa watu. Ni msikivu asiye na kifani. Wengi watatadadisi Mtoto wa Mwenyekiti...
Ninaamini wewe kama ungekuwa rais wa Tanzania watoto wote wa Viongozi usingewaruhusu hata kwenda shule na hospitalini kwa kuwa watarithishwa. Hapa ni haki ya kikatiba anaefaa anapata nafasi yake. Angalia Marekani bush father was president na Bush son became president, wote wamechaguliwa. Acha...
Inasikitisha kuona CHADEMA chama kukuu cha upinzani kufanya vibaya katiaka chaguzi ndogo za madiwani. Tumeshinda viti 3 kati ya 27, baadhi ya viongozi wawajibishwe. Inaniumiza sana na kuona tatizo nini? Mpasuko ndani ya chama umeanza kuonekana. Magomvi yasio na tija yanaanza kutuumiza...
Kasuku huongea bila kufikiri ilimradi asikike sauti, usiongee kichove bila kufikiri. Unapo mtuhumu mtu kwa makosa ya jinai bila ushahidi ni sawa na mwenda wazimu kukojoa mbele za watu.
Kama ni kweli, Big Up Dr. Chami. Kumbuka mwanasiasa mahiri ni yule ana mikakati miwili; Entry and exit strategy!
Otherwise, you wil be like Mugabe, Museveni, Theodone Obiyang etc with no exit strategy end been dictators.
Just little thoughts.
Chadema kutumia Tsh. 1 Bilioni kukodi Chopa kuzunguuka na "Operation Pamoja Daima" Chadema hawana busara na hawaitaki maendeleo ya Watanzania. Tunaamini Chadema hawana mkakati wowote wa kutokomeza umasikini na maneno yao hayaendani na vitendo. Tsh. 1 Bil inaweza kujenga Zahanati za kisasa zaidi...
Tujadili mambo yenye tija. tija tija.... Migiro au Kapuya au yeyote yule ni haki ya kidemokrasia kujipanga kuweka nia au kugombea nafasi zilizopo ukiwemo wewe mtoa maada. Tunapenda tuwe na watu wengi katika kinyang'anyiro ili mchuano uwe mkali kusudi tupate kiongozi bora. Sasa tusifunge break za...
Anaelalamika sana kumbe kaficha yake. Yakifichuka ni janga la radi mwituni. Sasa hili jambo ni zaidi ya yote. Uitishwe mkutano wa dharura, Chadema taifa isimamishe shughuli zote ili suala hili lishughulikiwe kisheria.
Akili ikisinyaa inatoa pumba zisizo na maana yoyote. Chali vipi tena kichwa choka sana, humu ni mambo yanayohusu maendeleo ya jamii kwa hiyo kama unamambo yasiyo na tija peleka kijiweni/maskani sio hapa babu umepotea njia. If you dont fit you have to quit
Inaonyesha wewe unaufinyu wa kuona au fikra finyu, nenda Iramba Magharibi leo na linganisha miaka mitano iliyopita sasa barabara zimeimarishwa, Maji safi na salama yapo, kilimo cha ufuta kina ongezeka, Elimu shule zote au zimekarabatiwa au Waalimu belelee. Sasa tuongee kwa data sio jazba au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.