wale wanaotaka kurudi kwao njooni ruvuma mbinga mi niondoke nije kokote.idara ya sekondari......vigezo na mashart kuzingatiwa.nicheki fb...amoury riyami.
MIMI NI MWALIMU WA CHEMSTRY BIOLOGY NIPO HALMASHAURI YA WILAYA MJI MBINGA NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE AJE HUKU MBINGA MJINI NIJE TANGA MORO AU KIBAHA. NINATSD NO. NA BARUA YA AJIRA.
Kwa mwenye mtaji wa mil 8 hadi kumi unaweza kufanya biashara moja ambayo faida yake ni mil 2 kila wiki. Ila inahitaji ufatiliaji.
Biashara hiyo ni kuchukua mbao huku Mbinga na kuleta Dsm. Mimi na my brother tunafanya share. Inalipa kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.