Ivi huyu nae ni msemaji wa chama,Is it true kwamba CUF ina mazuzu kiasi hiki?.Msemaji wa chama kashindwa kukanusha tuhuma anabaki kulalamika badala ya kujibu hoja. Ameng'ang'ania gazeti kufungiwa bila kutoa maelezo ni kwa jinsi gani gazeti limechochea udini
Mwandishi anajaribu ku-justify kwamba...
I'm Ordinary Tanganyikan,Sitaki kuusikia huu muungano hata kidogo,Hakuna faida zaidi ya mikelele tu kila kukicha!,Let them Go for good,They're busy beaking every now n' then!
Si kweli!,Yule mzungu wa Azam alikua na maji ya aina mbili,alikuwa na maji ya kawaida ya Azam na Energy drink ambayo ilikua maalum kwa wachezaji wa Azam tu,Baada ya Mechi kuisha Kazimoto aliomba maji na akapewa ya kawaida ila yeye aliyakataa na kutaka apewe yale waliyokuwa wanakunywa wachezaji...
Kaka Morogoro ipi hiyo unayoizungumzia?,Kwa mfano Kilombero Chadema ilichukua CCM wakaiba kura,Mvomero kwa Amos Makala Chadema nako walichua,CCM kama kawa wakachakachua,Chadema wakachukua tena jimbo la Ulanga iliyokuwa ya Juma Ngasongwa,jamaa wakaiba tend kama kawa!,In short CCM hawana Chao...
The potrait of shame!,Zuma ni mashuhuri kwa hiyo business,So ni haki yake kuwa potrayed that way,Ila wasiishie huko tu,Waje na huku Tz,Wapo viongozi wa hulka hizo,They should be potrayed too!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.