Huyu Membe ndiyo tabia yake anahusudu Rushwa na mara kwa mara amekuwa akijivunia undugu wa familia ya rais kama wako pamoja nae na watahakikisha anakuwa rais.
Huyo mama anapoteza hela zake bure atajuuuta ngoja muda ufike ni kuhaibika kwenda mbele nafikiri anajua anachokifanya janja yake ni ubunge wa viti maalum kama ilivyokuwa kwa mama Kaihula ilala huyu mama anakaa upanga kampeni zake alizifanya upanga tu kwa kuzungumza na vijana kwenye vijiwe basi...
Posho hiyo imekutuma useme hivyo ila ukweli unaujua nafsini mwako kama hakuna chama bora kama CCM katika medani za kisiasa Tanzania ukitaka kuamini hilo subiri uone kitakachotokea UKAWA wakati wa kuchagua wagombea wao watakaoshiriki katika uchaguzi mkuu balaa lazima liwakuta kwa kuwa ubinafsi...
Mfanya maamuzi kwa kukurupuka bila kufuata sheria,kanuni na taratibu.labda awe rais wa familia na ukoo wako kwa Tanzania hafahi najua ww umeonge hivyo kwa sababu ya Posho hiyo ndiyo tabia yenu vijana wengi wa sasa mmejawa na umimi badala ya utaifa.
Mizengo Pinda,akigombea urais nitampigania na kumchagua kwa sababu ni kiongozi mwaminifu,mwadilifu,maamuzi yake yametawaliwa na hekima na busara kwa kufuata sheria,kanuni na taratibu.Ni kiongozi anayefanya maamuzi makini kwa wakati sahihi.
Mkuu leta hoja acha kuongea kinafiki, analia kwa kipi. Tatizo nyinyi wachumia tumbo mnashindwa kuelewa kuwa hata Waziri Mkuu naye ana hisia kama binadamu mwingine. Lakini pia kitendo cha kulia ni involuntary actions ambazo mtu hajiamulii tu kulia isipokua pale anapoguswa na jambo fulani. Hata...
Mkuu nabiitz nakubaliana nawewe safari ni nyeupe kwa mtoto wa mkulima. Juzi tulijuwa na mkutano mkubwa na wakukima na wafugaji waishio kanda ya ziwa, wameonyesha kumuunga mkono mtoto wa Mkulima kwa kusema sasa ni dhamu ya Masikini, wakulima, wavuvi na wafugaji
Wewe mzee wako kaacha nini?haya yote yaliyofanyika kwenye serikali ya awamu ya nne Mizengo Pinda akiwa waziri mkuu na msaidizi mkuu wa rais hauyaoni?nafikiri tatizo posho unayopewa na hao mabwana wataka urais kwa Rushwa zinakusumbua Akili za kuambiwa changanya na za kwako usiwe kama mbayuwayu
Magufuli hafahi kuongoza anafaa kuongozwa amekosa hekima,utu na busara anaweza kufanya maamuzi akaliingiza taifa kwenye vita huwa anakurupuka sana bila kufuata sheria
Nchi haiwezi kuongozwa na wapiga kelele huku ndani wakiwa mbwa mwitu Mmeona alichokifanya Sitta ATCL na bandari uozo wa Mwakyembe lakini pia mmeona maamuzi ya magufuli yanavyoigharimu serikali yetu kulipa mafidia kwa kufanya maamuzi hovyo yasiyo makini tumeshuhudia setikali ikishindwa kesi mara...
Tutajie aliye msafi kwa upande wa ukawa unayemuona wewe anafaa tumjadili manake tumewachoka maandishi yenu yamejaa kiposho posho mnaandika vitu tofauti na vilivyomo kwenye fikra zenu mmejawa na fitina kisa posho.
CCM haichaguliwi mgombea kwa kelele za posho na vyombo vya habari kanjanja kama anajions anafaa zaidi kuliko wengine aende kugombea kupitia CHAUMA au chama kingine chochote cha upinzani alafu tutaona msifikiri wakina Sitta,Mwakyembe,Sendeka,Anna kilango na wenzao wamekaa kimya mkaona wajinga ipo...
Ukawa ni vigumu kuingia ikulu ukawa ni kama wafu hawana dira wala mwelekeo mwaka huu mtaijua vixuri CCM kama ndiyo baba wa siasa hapa nchini na duniani kote.watanzania wa leo siyo wa jana wanajua mbivu na mbichi wanajua kama Ukawa ni Umoja wa Wahuni waliofilisika kisiasa umoja wa timu mbovu za...
Tope la mavi ni Lowassa ambaye alikataliwa toka enzi za utawala wa Mwl Nyerere leo nyie vijana wasaka tonge na waandishi wa habari makanjaja mnaangaika kumsafisha kamwambieni watanzania hawako tayari kuongozwa nae ni fisadi aliyekubuhu watu wote wanajua hilo hasafishiki hata kwa tindikali wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.