Katika uchaguzi uliofanyika leo tarehe 14 July - 2013 wafuasi wa CCM walikuwa na uhakika wa kuibuka na ushindi hata kama ungekuwa membemba kwa sababu idadi kubwa ya waliojitokeza kupiga kura walikuwa akina mama. Tofauti na ilivyo zoeleka miaka nyuma akina mama au wanawake kwamba ni mtaji wa CCM...
Clipp ingekuwa imetolewa na Nape Nnauye au Juliana Shonza na mwenzake Mwisho mwampamba ingekuwa imepigiwa upatu sana ili dunia nzima ujue.
Nasi tupaze sauti kwa shutuma hizi kuona Mwigulu Nchemba anasemaje juu ya shutuma hizi? Vinginevyo ni kweli anahusika.
Kama yupo busy kuandaa movie nyingine basi atakuwa hana akili kabisa maana hapo kawekwa uchi kabisa vinginevyo angeshitaki huyo jamaa aliyemwagia shutuma hizo.
Wadau nimesikiliza clipp hiyo na kuona Mwigulu Nchemba ametupiwa shutuma kede kede na sijasikia hata moja ikijibiwa. Kwa kuwa Mwigulu ni member humu naomba atazame clipp hiyo kwa makini sana nakujionea mwenyewe jinsi alivyowekwa uchi!!
Nimeamini kabisa kwamba CDM ni walimu wazuri wa...
Naona kaambiwa waandishi wa habari siyo mahabusu au unaongea nao kama unaamrisha parade, kapoa sana hata alichoongea kuhusu Mbowe sijakielewa zaidi ya kusikia viongozi wanafiki.
Kamishna wa Operation na Mafunzo Paul A. Chagonja ukweli hafai kupewa jukumu kubwa la kusemea Jeshi la Polisi katika matukio makubwa yoyote hasa ya kisiasa kwa sababu zifuatazo;
1.0 Ana jazba kubwa sana katika kuelezea mambo, kama anawaowaeleza hawana uelewa wa kuelewa chochote au ni kama...
Hoja hii nilipoileta ilikuwa hata ya Arusha hayatokea lakini naanza kuamini nilikuwa nipo sahihi sana. Hebu angalieni vyombo vya habari leo hii kama ITV nacho kilivyobadilika na kuwa cha kijinga kabisa.
Ukiacha hayo hata matumizi ya nguvu ya Jeshi la Polisi nayo yameongezeka maradufu hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.