Nadhani haupo makini maana mccm alisema jana kuwa rais wa Libya alikuwa Saddam Husseim washabiki dole gumba wakamshangaa. Alipoteza dira na kujikanusha kisha akatoa jibu sahihi kuwa Saddam Hussein ni rais wa Kuwait. JE NAYE MAFUNGUO ALIPOTEZA MAKUFULI?
Nimepitia rasimu ya katiba mpya 2013 sijaona ibara yenye kutamka HAKI ZA WANAUME wala WAGANE. Haki za binadamu zimetaja makundi mengi kama haki ya mtoto, haki za vijana, haki za wazee, haki za wanawake(na wajane) na makundi mengine. Lakini wanaume naona kama wamebaguliwa au ndio tuseme katiba...
MAZISHI: Marehemu amezikwa leo, Alhamisi 15/08/2013 nyumbani kwao. Tunawapa pole wazazi, familia, majirani, ndugu, jamaa na marafiki wote kwa msiba huu mkubwa wa mpendwa wetu. Mungu atupe maisha ya wokovu na amani sisi sote tulio hai. Marafiki kutoka kanda ya kaskazini mliotuwakilisha huko...
Mwili wa marehemu umesafirishwa jana saa tatu na robo usiku kwenda Mahenge, Morogoro. Taarifa za muda huu ni bado hawajafika na safari inaendelea. Update: Hatimaye mwili wa marehemu umewasili majira ya saa nne na dk 45 usiku...
Mauti ni adui.Mwili wa marehemu Privatus umewasili Mahenge kwa maziko. Maisha ya mwanadamu ni mafupi na huenda wewe umebaki na masaa au miezi au miaka michache tu.
Kweli Siwaelewi CCM. Juzi juzi kama vile walisema AMANI inaharibiwa na baadhi ya vyama vya upinzani. Lakini sasa nasikia kuwa watu kutoka nje ya nchi wanaharibu amani yetu! Suala la udini na kauli tata zinaimaliza na kuizika CCM?
Tuikubali CHADEMA Nguvu ya Umma na Amani Tanzania. Chagua CHADEMA...
Ni kweli hakuna jambo pasipo mwanzo wake. Mimi napenda kusema wazi kuwa wanasiasa wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA ni watu makini sana kiasi cha kuamsha watanzania kudai haki zao kwa nguvu ya umma. Kinachotakiwa ni watanzania kuiamini Chadema nchi nzima ili kukomesha dhuluma ya CCM kwa...
Acha kuchokoza biashara za watu! Unataka kufahamu nini katika hayo mambo ya king'amuzi? Je!hujui kuna issue za simu zao na speed governor? Watanzania hamtakiwi kupata habari muhimu maana mtaanza kuandamana kama watu wa mtwara. Hakuna cha satiliati lazma mtanunua vinq'amuzi tena nasisitiza vile...
Sipendi kuhukumu ila leo natoa hukumu yangu kuwa Mamuya na Ben ni watu hatari katika nchi hii. Wanafaa kujiunga na kikundi maarufu cha wasanii wa maigizo kama ya Marehemu Kanumba. Natamani angekuwa hai. Leo hii angeweza kuongeza bei yake katika sanaa kwa kisa hiki cha watu wasiojali hoja za...
"Kuliko nifanye siasa za aina hii, ni bora niache siasa kaka."
Nadhani mna shida mbaya sana.Mmesikia chaguzi ziko karibu sasa mnaanza kuleta maneno yenu. Mimi nawashanga sana kwa sababu mnataka jamii iamini mambo yenu yasiyokuwa bayana. Nini maana ya kusema nitasema kwenye vikao na unaamini...
Mleta mada hii na wapambe wake akumbuke kuwa CCM ni Kichekesho mbele ya Watanzania wapenda haki na maendeleo endelevu?
CCM ilisikika ikilia na bado inalia kwa maovu mengi. Kweli! umeleta hoja kwa kujifurahisha tu au pengine unataka tuwajulishe tena yafuatayo kuhusu CCM? Tafakari!
1...
Maneno yako ni yale ya kawaida yenu wana CCM maana siku zote mmepofuka na mnabaki na propaganda zenu dhaifu. Ni kweli rushwa imewapofusha macho hata hili la mabilioni ya Uswisi hamlioni. Mnapotezea kwa majungu yenuna kuanza kudai Chadema kinakufa! Tunataka viongozi wenu mafisadi na magamba yao...
Aibu tupu! Naona hapa ugomvi ni nani anaungwa mkono na kambi ipi! Ninyi wanawake hamjui ni aibu ya hata waume na wazazi wenu kugombana hadharani kwa ajili ya nani ni wanani ndani ya CCM? Ninyi masikini wenzetu mmepata wapi hayo mamilioni ya eti kuwasaidia watu wasio na uwezo. Acheni kuita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.