Sasa hivi upande mwingine ndio unahoji... Mambo yamebadilika ila Udini hautatufikisha mbali especially kwenye swala la uwekezaji tuangalie vigezo tuachane na Udini nchi inahitaji pesa
Nina miaka 9 JF niliingia kile kipindi inaitwa Jambo forums nilijiunga 2007 kpindi hicho wabeba box ndiyo tulikuwa tunatawala humu nilikuwa nakuja sikiliza mziki wa nyumbani .. baadhi ya vijiwe vyangu ilikuwa ni bongo5 Chat & dar hotwire ... baadhi ya memba nnao wakumbuka
Game Theory Steve...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.