Prof. Kabudi ametueleza makubaliano lakini hajasema makubaliano hayo utekelezaji wake unaanza lini?
Hadi Rais kasema hizo hela watulipe mapema lakini mapema ni lini na ni kwa nani...? Prof. Kabudi katuchanganya na hizo % ....
Nampongeza Rais kwa Ujasiri wa Kuthubutu.... Ila naomba amuambie Prof...
Ingekuwa ni vyema serikali ikatuambia zile tuhuma za kuwa hawa ni wezi, madai yetu kwao, wameyazungumzaje na nini ukweli kabla hawajasema makubaliano ya kupeana hizo Dola 300m kama kidumisha ndoa (kitembea kwa magoti hadi South Africa baada ya kuchepuka) Je tumeshindwa ktk yale madai...
Utendaji Wa Serikali kwa sasa hauna Mawaziri na Kazi zao zinafanywa na Makatibu. Na hata mawaziri wakiwepo Makatibu ndio watendaji wakuu Wa Serikali.
Alichokifanya ni sawa kabisa kukaa na Watendaji, kawaelekeza nini anataka, waandae mazingira Mawaziri wakija wakute nini cha kufanya kama Dhana...
Kikwete Alianza kwa kutumia Hela kule Ngurdoto, Magufuli Kanza Kwa ziara Ya Miguu, na Kikao Kazi ofisini na watendaji wakuu..... Kawaambia Serikali Yake Itakuwaje na Kawafafanulia Dhana ya HAPA KAZI TU Ili kila mmoja awajibike Hivyo.
Kafuta Masafari ya Nje kwa watendaji Wakuu, JK alionesha...
Kuna wanaume wanatudhalilisha saaana. Inakuwaje mwanamke anasema mihamu inajikusanya kama chemchem msimu wa mvua? Au eti hafikishwi ghorofa ya mwisho!!!!!?
we mahondaw!!!! Kuja huku kwetu zanzibar upewe vituu vya maana uishie kuota jua kila siku hadi ukituona wanaume unasema kazi ipo.....
Ulimi unaanza kutamani the taste of salt. Jamani niacheni nichangie bunge la katiba. Mnataja uvinza hadi mate yangu yanadondokea mic. Mi mndojole (mlafi) wa hiyo kitu
Hebu mdau alete part two ya hii story inawezekana kilichofuata ni fumanizi huko club au nyumbani. Kama mke wetu hakuliwa basi shemeji kaliwa. Na kama mke wetu kaliwa na kaka yetu nae kaliwa.
Dah hii mada inanifanya nihisi kabisa kuna sehemu inaanza kuvimba taratibu na maumivu ya kichwa yanaanza pooole pole.......nasikia maumivu makali kupita kiasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.