Walisema wanataka upper second. Sio kazi yao ya ku specify upper second ya aina gani....
Upper second ya 3.9 haina jina maalum...
Furthermore, application zilikuwa nyingi sana. Wangeanza 3,5 ingebidi watoe aptitude test za watu 1,500. Not cost effective when looking for 40 people
Msiwe wavivu wa kufikiria...
Wakisha shortlist kwa GPA then wanatoa aptitude test. Hyo inachuja wote walionunua hizo GPA. Kuna waliopata 14% kwenye aptitude simpo tu, pamoja nakua na GPA ya 4.3.
Isitoshe then wanakupiga oral interview. If ulifika pale kwa ngon* definitely u won't make...
Hapa naona hoja hamna. Swali....
Application za kazi 40 zinakuja 12,000. Unatumie vigezo gani kuchuja wafike watu 300 ili wawe interviewed.
Huko utumishi na watawachuja vipi?
Riddle me that...
Mi naongea from experience za customs jobs recently. Tulifika pale mtu 300, wote wamechujwa kwa GPA.
Then tukafanya aptitude test. Wakapanga from matokeo yake, waliofeli wakaachwa.
What do u want from them? Mi nimepata kazi huko fair and square, bila refa wala nini. Just my GPA, aptitude...
Wasikutishe Kaka, apa uivu mwingi. Kwanza najua lazima ufaulu cos walichukua vichwa tu....
Ila utaratibu nasikia mambo shwari, buffet daily, shavu dodo.
Sema sijui Kama chumba ni private au unashea....
Dah tanzania hatuwezi kuendelea kwa staili hii. Weka kwenye google kijana majibu utapata. Acha kutangatanga huku kuuliza maswali bayo majibu yake yako wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.