jenga tabia ya kunywa maji meng na kula matunda mchanganyiko..!kula kwa wing mapapai,maembe na maganda yake pia kunywa juice ya maparachichi utapata choo laiiiiiin....
pole sana kaka..!kwanza jtafakari mwenyewe,kama na ww n unatoka nje jirekebshe kwanza mwenyew then msamehe mkeo na umkanye kiutu uzma kama n mwelewa atabadilika but changes beggins with you..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.