wana jf makini jiadharini na mamluki.Humu kuna mapandikizi ya Magamba club wanajifanya kukandia kila point inayo wahusu viongozi wajao wa tz kuanzia 2015.kila ukisema dr.silaa wanakaba na kuponda ili kuwakatishaa tamaa wana jf makini.kuweni makini hamko peke yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.