Ujio wa Obama wananchi wameandaliwa vipi kumpokea katika maandamano ili hali waziri mkuu amewataka polisi kuwapiga wananchi wanaokuka sheria, itakuwa vipi endapo watakiuka utaratibu ambao utawekwa na watu wa itifaki wakati wa kumpokea Obama?
Kaliwa Ndugai, subirini vita Serikali na jeshi la ziada, JWTZ ambao maisha yao wamewekeza Kigamboni, Ndugulile si kihiyo. Anajua anachokifanya, Kigamboni lazima kinuke. Mapinduzi ya kwanza kabla CDM, yatatoka Kigamboni , subirini muoneeeeeeee
Rose Kamili kachanganyikiwa, amemshindwa Mary Nagu sasa anarukia waume za watu, atulize makalio chini, kama anataka mabwana aende chama cha kijani , wako bwelele wameungua nyuso kwa ARV
Tuendelee kumuombea dk, ukitafakari mateso aliyoteswa waweza kububujikwa na machozi usiku kucha, yakaribiana na mateso ya bwana wetu Yesu Kristu pale alipibebeshwa msalaba na kuambatanishwa na nao na misumali na kuanza kupigwa mijereji huku akitobolewa mbavuni. yalifanyika ili sisi tupone, hali...
muulizeni,tayari amewasilisha taarifa zake za kibenki, na matamko ya mali Tume ya maadili, hamuwajui wabunge wetu kwa namna walivyoshabikia na kumponza Mwakyembe, hadi akapataa mateso peke yake, ili hao wote walistahili mateso kwa kumtenga dk nchini INDIA?
Unatafuta faraja, hizo propaganda zako zinafanana na zile za chama cha kijani. Watanzania wa leo wameelimika, wewe ndiyo wa kuwaambia, zilitengenezwa ama anahusika kama alivyotajwa na dk pale alipokwenda icu kumkejeli
Matukio ni mengi bali nitawasilisha machache. Tukio la kutelekezwa Dk Harrison Mwakyembe alipopata ajali mkoani Iringa, Polisi Usalama barabarani walidaiwa kususia kutoa msaada eti tu kwa kuwa amekuwa akitoa misimamo mikali kwa Serikali hususani Kamati aliyoisamamia kuchunguza Richmond...
Kwa mkakati huu, Mungu yu Mwema kwa Ulimboka. Lakini mpango huu utawafikisha wapi? Shetani ameshindwa!!!!!!!!!!!!!!!
Jina la bwana liinuliwe, Watanzania Hhureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Mwema na Shemejiye wameumbuka sasa, wapange mkakati, De,level endelea kuipenda na kuipigania nchi yako. Taifa kwanza.
Nani asiyejua udhaifu wa Serikali na bunge,swali aulize Ester Bulaya, jibu apewe Wassira kana kwamba ndiye aliyeuliza swali. Uchungu wa Wasira kwa Bulaya kukitetea Chama chake, tayari Bulaya kaonekana Mpinzani kwa kuwa tu kaenda tofauti na mataka ya wakubwa, tayari Bulaya ni Chadema, Pumbafu...
Inahitajika Maige apewe ushauri nasaha na si vinginevyo, atakuwa ameatirika kisaikolojia, si bure kwa aliyekuwa mtu makini kuendeleza mijadala ambayo hata iweje, haitamrudisha katika nafasi ya Uwaziri.
Tujitafakari kabla ya kufanya maamuzi, kizazi kijacho kitarithi ardhi ipi ikiwa wageni watamilikishwa, ooh!maskini Watanzania ni maskini ndani ya nchi , nini kimewakumba watawala wetu? Au ni umbumbu, ni bora aliyekuwa chifu wa Iringa Chifu Mkwawa, alionyesha uanaume kwa kutaaa kuwa mateka ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.